Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, May 21, 2010

SIMBA KUMMEZA URA YA UGANDA LEO


Mshambuliaji mpya wa Simba, Robert Ssentongo (kulia) akishangilia bao aliloifungia timu yake na Juma Jabu dhidi ya Atraco ya Rwanda katika mechi ya Kombe la Kagame iliyochezwa kwenye Uwanja wa Nyamirambo, Kigali, Rwanda. Simba ilishinda bao 1-0. (Picha kwa Hisani ya CECAFA)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...