Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, May 31, 2010

TEA WAGAWA VIFAA VYA MAABARA SHULE YA UYOLE MBEYA


Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania Bi.Rosemary Lurabuka (kushoto) akifatilia mafunzo ya wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Uyole ya Mbeya walipokuwa maabara Mamlaka hiyo imetoa vitabu na vifaa vya mahabara hiyo, mwishoni mwa wiki iliyopita.(Picha na mpigapicha wetu)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...