Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, May 31, 2010

ZAIN YAKABIZI KOMPYUTA NA VITABU KATIKA CHUO KIKUU CHA MUHIMBILI


Meneja Mahusiano wa Kampuni ya Zain, Muganyizi Mutta (kushoto) akimkabidhi makamu mkuu wa chuo kikuu Muhimbili 'MUHAS' Prof.Bakari Lembariti seti ya kompyuta pamoja na vitabu mbalimbali Dar es salaam jana vitu hivyo vimekabidhiwa baada ya kushiriki mashindano ya Africa Chalenge yatakayomalizika hivi karibuni kulia ni Mshauri wa wanafunzi Dkt. Ambrose Haule.(Picha na Rajabu Mhamila)
Meneja wa Mahusiano wa Kampuni ya Zain akionesha vitabu wakati wa hafla hiyo

mmoja wa maofisa wa chuo kikuu muhimbili akifatilia shuguli hizo leo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...