Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, June 30, 2010

MISS KINONDONI WATEMBELEA GAZETI LA MAJIRA


warembo waripotembelea BTL

Mhariri wa Dar leo Wiliam Shao akiwaonesha gazeti la leo warembo
wakiongea na mhariri wa majira jumapiri Ponsian Rwechungura
Amina Athumani kushoto akiwa na warembo walipotembelea kampuni ya Bussines Time
Mwandishi wa habari wa Kampuni ya Bussines Time Mwali Ibrahimu kulia akiwaelekeza warembo wa miss Kinondoni jinsi gazeti linavyotoka kabla ya kwenda kiwandani
Mhariri wa michezo wa gazeti hili, Selemani Mbuguni (kulia) akiwaelekeza jambo warembo wanaowania taji la miss Kinondoni walipotembelea Dar es salaam jana.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...