Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, June 29, 2010

nyota wa Brazil Maicon kujiunga na Mournho


LONDON, Uingereza
JOSE Mourinho ameipiga bao
Manchester City katika mbio za kumsaini mchezaji wa kibrazili
Maicon.
Beki huyo wa Brazil aliye katika michuano ya Kombe la Dunia amekubali kujiunga na The Special One katika timu ya Real Madrid akitokea Inter Milan kwa ada ya pauni milioni 25 mara baada ya kutoka Afrika Kusini.
City ilitarajia kumweleza mchezaji huyo kuungana na Roberto Mancini katika mapinduzi ya Eastlands.
Lakini Maicon amemwambia kocha wake wa zamani Mourinho kamba anataka kuungana naye
Bernabeu msimu ujao.
Uhamisho huo umekuwa ukileta mashaka kwa Liverpool kuwa huenda kocha Rafa Benitez atatumia fedha hizo kurudi anfiel kumtaka
Javier Mascherano.
Awali nyota wa Brazil Maicon aliiambai klabu ya Manchester City kwamba anataka kuichezea Real Madrid.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...