Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, June 30, 2010

WAFANYAKAZI WA TBL WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA


Mkurugenzi wa Ufundi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Trevor Gray (kulia) akimzawadia mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo box moja la kilaji cha safari lager Siku ya Familia za wafanyakazi wa kampuni hiyo, iliyofanyika katika Hoteli ya South Beach, Kigamboni, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita
Wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na familia zao, wakishindana kuvuta kamba wakati wa Siku ya Familia iliyofanyika katika Hoteli ya South Beach, Kigamboni, Dar, wikiendi ilopita
Mfanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Sufiani Athuman, akishindana kucheza pool na mfanyakazi mwenzie Rajabu (hayupo pichani) katika pambano lililofanyika Siku ya Familia iliyofanyika katika Hoteli ya South Beach, Kigamboni, Dar es Salaam juzi. Wa pili kushoto ni mwamuzi wa pambano hilo, Skubi Mlapakolo. AKA Skubi duu.picha na www.mtaa kwa mtaa.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...