Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, July 8, 2010

FIESTA JIPANGUSE YATIKISA MOROGORO


Hamisi Mwijuma mwana FA alikuwepo
watu kibao walikuwepo si mchezoooo
Unapoona Jahazi lataka kuzama nahodha huingia kati...Huyu ni DJ Ruge akijipangusa na maskrach ya ukweli katika tamasha la Fiesta Jipanguse mambo yote haya yalikuwa usiku wa kuamkia leo.
Mshindi wa tuzo 3 za Kili Music Award 2010 almaarufu mzee wa Mbagala Diamond akiimba nyuma ya jukwaa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...