Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, July 29, 2010

MABONDIA KUONESHANA UMWAMBA DDC KARIAKOO KESHO


Bondia juma Fundi akipima uziti Dar es salaam leo kwa ajili ya mpambano wake wa kugombea ubingwa wa Dunia wa U.B.O kesho kushoto ni mpinzani wake Shabani Kilumbelumbe
Bondia Josephe Jorekera akipima uzito leo kwa ajiri ya pambano lake la kirafiki na Tomasi Mashari kesho katika umkumbi wa DDC Kariakoo kushoto ni mratibu wa pambamo hilo Aga Peter.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...