Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, July 28, 2010

YANGA KUCHEZA MECHI YA KIRAFIKI YA KIMATAIFA IJUMAA


SALUM MKEMI BABA YAKE NA SAMIA MRATIBU WA PAMBANO LA YANGA DHIDI YA TIMU YA TELECOM KUTOKA MALAWI.

Timu ya yanga itashuka dimbani jumapili wiki hii kucheza na telecom wander ya malawi katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki utakaofanyika uwanja wa uhuru jijini dsm.

Mratibu wa shindano hilo mkemi amesema maandalizi yamekamilika ila mpango ulikuwa timu hiyo icheze na simba ,yanga na azam lakini mpaka sasa ni yanga ambao wamekubali kucheza mchezo huo lakini bado wanendelea na mazungumzo na timu ya azam huku simba wakigoma kwa madai ratiba imebana

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...