Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, August 22, 2010

MASHINDANO YA WAZI YA GOFU YANAYODHAMINIWA NA BANK YA KCB KUMALIZIKA LEO





Mchezaji wa gofu,Katembo Maftah akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya wazi ya mchezo huo yaliyomalizika Dar es salaam jana. Mashindano hayo yalidhaminiwa na Benki ya KCB Tanzania
Wafanyakazi wa KCBA Tanzania wakiwa katika viwanja wa gofu leo

Mchezaji wa gofu, Munir Ailyissa akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya wazi ya mchezo huo yaliyomalizika Dar es salaam leo. Mashindano hayo yalidhaminiwa na Benki ya KCB Tanzania
Mchezaji wa gofu, Suleiman Kessy akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya wazi ya mchezo huo yaliyomalizika Dar es salaam leo. Mashindano hayo yalidhaminiwa na Benki ya KCB Tanzania

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...