Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, August 27, 2010

TASWA WAJIPANGA KUMPA TUZO KIKWETE


mwenyekiti wa TASWA JUMA PINTO katikati katibu mkuu AMIRI MHANDO kushoto wakizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za TFF leo.

Chama cha waandishi wa habari za michezo nchini TASWA kimeamua kumtunukia tuzo rais JAKAYA MRISHO KIKWETE kutokana na kusaidia maendeleo ya michezo mbalimbali hapa nchini

Pinto amesema taswa wameona mchango wa Rais KIKWETE katika michezo kwa kuleta makocha mbalimbali.

Amesema tuzo hiyo itatolewa siku yoyote kuanzia sasa mara baada ya kupata majibu kutoka ofisi za IKULU kumpelekea tuzo hiyo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...