Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, September 29, 2010

RIDHIWANI KIKWETE AWAPATANISHA WANA CCM IRINGA


Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la Umoja wa
Viajana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ridhiwani
Kikwete (katikati), akiwatambulisha Monica Mbega (kulia) na
Davidi Mwakalebela baada ya kuwapatanisha na kuvunja makundi
katika kikao cha Baraza la Vijana mjini Iringa jana.Monica
ni mgombea ubunge Jimbo la Iringa mjini na Mwakalebela
alienguliwa kuwania nafasi hiyo.
Mgombea ubunge Jimbo la Iringa mjini, Monica Mbega (kulia),
akikumbatiana kwa furaha na David Mwakalebela baada ya
kuahidi kuvunja makundi mbele ya Mjumbe wa Kamati ya
Utekelezaji ya Baraza la Umoja wa Viajana wa Chama Cha
Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ridhiwani Kikwete (kushoto) katika
kikao cha Baraza la UVCCM, Iringa mjini jana. (PICHA NARICHARD MWAIKENDA)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...