Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, November 23, 2010

MKAMBI AZIKWA JIJINI DAR ES SALAAM

Wakazi wa jijini Dar es Salaam wakiwa wamebeba jeneza la marehemu Juma Mkambi wakati wakielekea katika maziko yaliyofanyika kwenye Makaburi ya Kisutu, jijini Dar es Salaam .
Rais wa Shirikisho la Soka Nchini TFF, Leodger Tenga, (katikati) akiwa ni miongoni mwa watu waliohidhulia maziko ya Juma Mkambi .
Wananchi waliojitokeza katika maziko ya Juma Mkambi wakiwa katika Makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...