Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 29, 2010

ngumi mawe masumbwi yanaendelea

bondia Mohamedi Matumla kulia akitwangana na Edward Luanda katika mpambano wao matumla alishinda kwa pointi
mohamed matumla vs edwrd luanda
mashabiki
mabondia Shabani Madilu kushoto akipambana na Alfa George madilu alishinda pambano hilo kwa point
Kocha wa timu ya ngumi ya Ashanti ya Ilala Dar es salaam Rajabu Mhamila Super D akifatilia mpambano katika kusaka vipaji vipya vya mchezo huo
Alfa George vs Shabani Madilu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...