Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, December 30, 2010

ASHANTI BOXINGI YAENDELEA NA MAZOEZI


Mabondia wa timu ya Ashanti Boxing ya Ilala,wakioneshana umahiri wa kutupiana masumbwi wakati wa mazoezi ya timu hiyo klabuni kwao juzi kujiandaa kwa mashindano ya Klabu ya mkoa hiyo, kushoto ni Miambo Mussa na Msami Khatib


Mabondia wa timu ya Ashanti Boxing ya Ilala,wakioneshana umahiri wa kutupiana masumbwi wakati wa mazoezi ya timu hiyo klabuni kwao juzi kujiandaa kwa mashindano ya Klabu ya mkoa hiyo, kushoto ni Miambo Mussa na Msami Khatib

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...