Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, December 29, 2010

TAIFA STARS YAANZA MAZOEZI YA NGUVU

WACHEZAJI wa timu ya Taifa, Taifa Stars, wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam, LEO
WACHEZAJI Nizar Khalfan (kushoto) na Athumani Machupa, wakishiriki katika mazoezi ya timu ya taifa, Taifa Stas, jana katika Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam
WACHEZAJI wa Kimataifa, Saidi Maulidi (kushoto) na Athumani Machupa, wakifanya mazoezi huku Kocha wa timi hiyo Sylvester Masha (katikati) akiwafuatilia kwa makini, Taiafa Stars ilipofanya mazoezi, katika Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam.picha na http://bashir-nkoromo.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...