Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, December 10, 2010

WASHABIKI WA FILAMU CONGO WASUBILI KWA HAMU OFF SIDE


Mashabiki wetu wa Goma,na Bukavu nchini DRC ndio watakuwa wa kwanza kuiona OFF SIDE pamoja na baadhi ya wasanii walioshiriki humo na wengine ambao mashabiki mmeomba kuwaona,ni December hii,nani anakuja ni The great na swahiba,Irene Uwoya,Aunty Ezeckiel na Mtoto Jeniffer,lakini pia tutawapa burudani jukwaani kwa mda wa dakika 30 mara baada ya kuzinduliwa OFF Side.kazi kwenu sasa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...