Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, January 27, 2011

AICC YAKABIZI MSAADA WA VITABU KWA WANAFUNZI ARUSHA


wanafunzi,
Baadhi ya wanafunzi wakifurahia vitabu vilivyotolewa na Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC). AICC ilikabidhi msaada wa vitabu hivyo vyenye thamani ya shilingi 6.9 milioni shuleni hapo jana ili kupunguza tatizo la uhaba wa vitabu katika shule hiyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...