Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, January 27, 2011

KUNA HAJA GANI YA KUTUMIA NGUVU KWA MUUZA MADAFU HUYU


Wagambo wa Manspaa ya Ilala wakiwa wamemkamata muuza madafu aliyekuwa akifanya biashara kinyume na taratibu barabara ya Msimbazi Dar es salaam leo kuna haja gani ya mfanyabiashara mmoja kukamatwa na wanamgambo sita


Wagambo wa Manspaa ya Ilala wakiwa wamemkamata muuza madafu aliyekuwa akifanya biashara kinyume na taratibu barabara ya Msimbazi Dar es salaam

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...