Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, January 30, 2011

mambo ya versity nite at new club maisha

Msanii Redsun kutoka nchini Kenya akikamua katika usiku wa Versity Nite ndani ya New Club Maisha.
Beka a.k.a Masuspender akifanya vitu vyake.
Vijana wa kazi toka T.H.T,Barnaba,Beka na Amini wakikamua vilivyo katika usiku wa Versity Nite ndani ya New Club Maisha,jijini Dar.
Belle 9 nae hakua nyuma katika makamuzi hayo ya ukweli kabisa ya Versity Nite.
Ukumbi ulifurika kwa uwingi wa wadau waliohudhuria usiku huo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...