Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, January 21, 2011

SAFARI YA SIMBA BRAZIL YAOTA MBAWA

Mabeki wa Simba Juma Jabu (kulia) na Haroon Shamte, wakishangilia bao lilillofungwa na Mussa Hassan mgosi kipindi cha kwanza baada ya Krosi nzuri iliyopigwa naye Juma Jabu.
Kiungo wa timu ya Simba, Jerry Santo (kushoto) akiruka kuwania mpira na beki wa Atletico Paranaense ya Brazir, Patrick Leonaldo, wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa taifa Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...