Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, January 28, 2011

WAZIRI WA FEDHA,UCHUMI ZANZIBAR ACHEZESHA DROO YA AIRTEL KWA AJILI YA WANAFUNZI KUPATIWA VITABU


Waziri wa Fedha, Uchumi na Maendeleo ya Mipango wa Zanzibar, Omar Yusuf Mzee (kushoto) akitazama kwa makini jinsi majina ya shule za sekondari 104 nchini yanavyopatikana kuweza kupokea msaada wa vitabu katika airtel. Katikati ni meneja wa Huduma za Jamii wa Airtel, Tunu Kavishe. Droo ya kupata shule 104 za sekondari imefanyika jana katika shule ya sekondari Haile Sellasie, Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...