Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, February 2, 2011

ZANTEL YAZINDUA MNARA WA HUDUMA ZA INTANET BUKOBA

Mkuu wa mkoa wa Kagera Mohamed Babu akikata utepe kuzinduwa mnara mpya wa Zantel wa huduma za intaneti jijini Bukoba. Pembeni kwake ni Mkuu wa kitengo cha mahusiano ya umma na matukio wa Zantel William Mpinga.

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mohamed Babu akitumia huduma ya intaneti ya Zantel baada ya hafla fupi ya kuuwasha mnara mpya wa intaneti eneo la Kibeta, Bukoba. Pembeni yake ni Mkuu wa kitengo cha mahusiano na matukio wa Zantel William Mpinga.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...