Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, March 19, 2011

MSONDO NA SIKINDE ZILIVYO ONESHANA UMWAMBA JANA

Mpiga gita la Solo Abdul Ridhiwani 'Pangamawe wa Msondo akiwapagawisha mashabiki wakati wa mpambano wao na Sikinde jana
Mashabiki wa Sikinde wakilisakata lumba
JUma Katundu akiwa sambamba na Nacho Mpendu Mama Nzawisa
Mashabiki wa Msondo wakifuraia magitaa yalivyokuwa yakikungutwa
Hasani Moshi 'Tx Jr' kushoto na Shabani Dede 'Super Motisha'
Waimbaji wa Msondo wakilishambulia jukwaa wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana
Wanamziki wa bendi ya Sikinde wakilishambulia jukwaa kulia ni Husein Jumbe, Hassani KUnyata na Abdalah Hemba
Hassani Kunyata na Husein Jumbe wakiimba
Abdalah Hemba akimba sambamba na kucheza na mnenguaji wa bendi ya Sikinde

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...