Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, March 31, 2011

TBL yasaidia ukarabati wa jengo la UMIVITA






Meneja Mahusiano wa TBL,Edith Mushi (pili kushoto) akipeana mkono na Afisa Uhusiano wa UMIVITA,Tungi Mwanjala (tatu kulia) wakati wakati wa kukabidhi msaada wa Shilingi 2.5 Mil, kwa ajili ya ukarabati wa jengo la ofisi ya Chama cha Umoja wa Miradi ya Viziwi Tanzania (UMIVITA) iliyopo ndani ya Shule ya Viziwi Buguruni leo.wengine pichani ni Mkurugenzi wa Chama cha Kuhudumia Viziwi Tanzania,Matirda Ngonyani (kulia),Katibu Mtendaji,Rahim Othman pamoja na Judith Robert kutoka chama cha kusaidia Viziwi la TANZANEAR.

jengo linalotakiwa kufanyiwa ukarabati kwa msaada wa TBL

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...