Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, April 27, 2011

MBWANA MATUMLA ANOGESHA NGUMI ILALA

Bondia Mbwana Matumla (kulia) akioneshana umwamba wa kutupa makonde na Omari Bayi wakati wa tamasha la kuamasisha mchezo wa ngumi uliofanyika, Dar es Salaam jana mabondia wote wanajiandaa na mapambano yao yatakayofanyika mei mosi katika ukumbi wa PTA sabasaba Dar es salaam
Baadhi ya wadau wa Mchezo wa ngumi wakibadilishana mawazo
BABY IKOTA SUPER D MNYAMWEZI AKISALIMIANA NA HABIBU KINYOGOLI

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...