Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, April 18, 2011

UHURU WAANZA MATENGENEZO KUKAMILIKA NOVEMBER MWAKA HUU




Mafundi wakiendelea na ubomoaji wa uwanja wa UHURU

Sehemu ya jukwaa la kijani likiwa lianza kubomolewa
Uwanja wa UHURU maarufu kama shamba la bibi umeanza kubomolewa tayari kwa matengenezo ya uwanja huo ambao kwa sasa umesimamishwa kutumika .

Msimamizi wa ujenzi huo XIAG YUZ HANG amesema matengenezo ya uwanja huo yatakamilika NOVEMBER mwaka huu na utakuwa juu na chini hivyo mashabiki wa soka watakaa sehemu mbili na wataondokana na usumbufu wa waliokuwa wanapata awali.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...