Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, May 19, 2011

BOB MARLEY DAY - 2011






Ø Yes Reggae Massive ..Waandaaji Wakali wa matamasha ya reggae nchini wanawaletea tamasha la kumuenzi Mfalme Wa Reggae BOB MARLEY

Ø Tamasha hilo litafanyika siku ya j moss tarehe 21 May 2011 ndani ya HUNTERS BEACH-KIGAMBONI

Ø Katika kunogesha maazimisho hayo kutakua na maonesho ya kazi za sanaa asilia ambayo yataanza saa sita mchana na baadae ikifwatiwa na live performance kali kutoka bendi za wasanii mahiri wa Reggae wakiwemo

JHIKO MAN and AFRIKABISA BAND,MZUNGU KICHAA,RAS NGWANDUMI ,BUMMIJAH,RAS MIZIZI na MACHIFU BAND.Pia Kutakuepo na mshindi wa tunzo ya msanii bor.a wa reggae nchini,HARD MAD. Bila kusahau Surprise show kutoka kwa wasaani waalikwa.

Ø Kama hiyo haitoshi…zitapigwa mixing kali za reggae kutoka kwa Reggae djs Mahiri akiwamo JA BLAZE,CRUCIAL YUSS along side KAKA MALIK

Ø Kumbuka ni tarehe 21 May ndani ya HUNTERS BEACH-KIGAMBONI na tamasha litaaza toka sa sita mchana mpaka majogoo.Ebaneeee..hii si ya kukosa.Tamasha hili limezaminiwa na 100.5 TIMES FM,TANZANIA RASTAFARIAN MOVEMENT na JAHRO SOUND

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...