Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, May 14, 2011

MARY JOEL NDIYE VODACOM MISS ARUSHA CITY CENTER 2011


Mwanadada Mary Joel (katikati) amenyakua taji la kuwa Vodacom Miss Arusha City Center 2011 katika ngazi ya kitongoji kanda ya kaskazini. Pembeni yake kulia ni mshindi pili Neema Edward pamoja na Stacey Alfred. Shindano hilo lilifanyika katika ukumbi wa Triple A, Arusha.

Mwanadada Zahra Seleman ambaye ni Vodacom Miss Arusha City Center 2010 akimvalisha taji Mary Joel ambaye amekuwa Vodacom Miss Arusha City Center 2011. Shindano hilo lilifanyika katika ukumbi wa Triple A, Arusha.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...