Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, May 8, 2011

WATEJA WA VODACOM KUPATA HUDUMA ZA LUNINGA ZA DSTV KATIKA SIMU ZAO

MKUU wa Kitengo cha Interneti katika wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom, Candise Rato (Wapili Kushoto), akimuonyesha Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Saidi Mecky Sadick (wa tatu kushoto) jinsi ya kupata huduma za Tv kupitia Dstv katika simu zenye mdandao wa Vodacom. Kulia ni Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Vodacom, Peter Correia na kushoto ni Mkuu wa Biashara na Masoko wa Dstv, Martin Mabutho.
Wanamuziki Enika na Saganda wakitumbuiza wakati wa uzinduzi huo.





No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...