Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, July 1, 2011


Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akisalimiana na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Kiu, Ijumaa na Champion, Abdallah Mrisho, baada ya kuwasili Ofisi za kampuni hiyo, Mwenge, Dar es Salaam. leo . Wapili kulia ni Mhariri Kiongozi wa kampuni hiyo na Mhariri Kiongozi Oscar Ndauka na Mwandishi wa kampuni hiyo Luqman Maloto na wapili kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Sixtus Mapunda.


Nape akiwa katika ofisi za Global Publishers. Kushoto ni Abdallah Mrisho Wengine kutoka kulia ni, Sixtus Mapunda, Maloto,Ndauka na Mhariri kiongozi wa michezo wa Global Saleh Ally


Nape akizungumza na wafanyakazi wa Global Publishers katika chumba cha habari cha Global. Wengine ni Mrisho, Ndauka, Sixtus na Ally.


Waandishi wa habari wa kampuni ya Global Publishers wakiwa kazini wakati wa ziara hiyo ya Nape.


Kunfi la kwanza la wafanyakazi wa Global Publishers wakiwa katika picha ya pamoja na Nape baada ya kuzungumza nao leo


Kundi la pili la wafanyakazi wa Global Publishers wakiwa katika picha nya pamoja

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...