Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, July 28, 2011

TIGO YASAIDIA SHULE DAR ES SALAAM

Msimamizi wa biashara na Masoko wa Kampuni ya TigoBw.Gaudens Mushi akizungumza na mtoto wa darasa la pili shule ya msingi Msisiri Hifta Jafari wakati kampuni hiyoilipokwenda kugawa madawati ya mapajani
Wanafunzi wa shule ya msingi msisiri wakiwa na madawati ya mapajani baada ya kukabidhiwa
Gaudens Mushi akimkabidhi madawati ya mapajanimwalimu mkuuwa wa shule ya msingi msisiri Bi.Prisca Myalla wanaoshughudia ni mwalimu Anna Lyatu na Mwenyekiti wa Shule hiyo Bw.Joseph Shay

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...