Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, September 27, 2011

BAADHI YA MATUKIO MDAHALO WA WAGOMBEA UBUNGE IGUNGA


Wagombea Ubunge jimbo la Igunga, Dk Dalaly Kafumu -CCM (kijanai), Joseph Kashindye -CHADEMA (kaki) na Leopold Mahona-CUF (Bluu) wakipongezana baada ya mdahalo wao uliofanyika usiku wa kuamkia leo mjini Igunga.
Naibu Katibu Mkuu wa CUF Julius Ntatiro, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mwigulu Nchemba na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zitto Kabwe wakiwa kwenye mdahalo huo.
Polisi akiwatuliza watu wenye munkari waliotaka kuvuruga mdahalo huo kabla ya kuanza
Zitto Kabwe akimvuta mkono Mbunge wa Tabora mjini, Alhaj Aden Rage kumpeleka safu ya mbele kutoka nyuma alikokuwa amekaa. Aliamua kumhamisha baada ya kufanyiwa zogo mara kwa mara ya wafuasi wa CHADEMA
Wagombea wakisubiri kujibu maswali wakati wa mdahalo huo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...