Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, September 16, 2011

Khan aombea Ortiz apigwe



Khan aombea Ortiz apigwe
na Mayweather

LONDON, Uingereza
AMIR Khan hataki rafiki yake Victor Ortiz ampige Floyd Mayweather Junior kesho kwa kuwa anataka kupiga na mbabe huyo.

Ortiz atapiugana na Mayweather mjini Las Vegas keszho na Khan anataka ‘Pretty Boy’ abakie kuwa bondia asiyepigwa hadia yeye atakapopambana naye k0atika mechi ainayotaraj iwa kuchezwa Agosti mwakani.

Victor ni mpiganaji mzuri, lakini sipendi ashinde,” alisema bingwa wa WBA na IBF uzani light-welter n kukaririwa na Daily Mirror.

"Ninataka kwua wa kwanza kupigana naye na kumshinda."

Sioni kama Ortiz atashinda, ingawa ana nguzu zaidi, Mayweather ana uzoefu zaidi na ufundi.”

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...