Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, September 27, 2011

MDAU CARTHBET KAJUNA NA ESTER ULAYA WAMEREMETAA!


MDAU MWANDAMIZI WA BLOG HII CUTHBET KAJUNA KULIA AKIWA NA TABASAMU PANA NA LENYE MATUMAINI YA KUISHI MAISHA YA UPENDO NA MKE WAKE ESTER ULAYA , HAPA NI MARA BAADA YA KUFUNGA PINGU ZA MAISHA JANA, NA KUFUATIWA NA MNUSO WA KUKATA NA MUNDU ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MBEZI GARDEN , MBEZI BEACH DAR ES SALAAM.


Sisi ni mwili mmoja kuanzia sasa.
Bibi harusi akipongezwa.
Mpambe wa Bwana Harusi Jackson Mbando ambaye pia ni Ofisa Habari wa Kampuni ya simu Airtel akimpongeza Bibi harusi Ester Ulaya mara baada ya kufunga ndoa na kuwa mke halali wa Cuthbet.
Bibi Harusi Ester Ulaya akimwaga tabasamu pama baada ya kuwa mke wa halali wa Cuthbet.
Mmtuonaa eeenhh.
Raha Iliyoje hapa Kajuna Son akiwa na mke wake pamoja na wapambe katika picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...