Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, September 22, 2011

TAMASHA LA KWANZA LA BIA KUFANYIKA NCHINI


Manager wa bia ya Kilimanjaro George kavishe akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar leo akitangaza udhamini wa tamasha la bia litakalofanyika jijini Dar es Salaam wakishirikiana na bongo 5 media. kulia ni afisa uhusiano wa kampuni ya bia Doris Malulu
Hapa mratibu wa matutikio wa kampuny ya Bongo 5 media Olive nimagaakitoa shukrani zake mbele ya waandishi wa habari

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...