Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, November 16, 2011

BECKHAM NA MWANAE: LIKE FATHER LIKE SON





Anaweza kuwa na miaka 6 tu lakini Cruz Beckham tayari ameshaanza kufuata nyayo za baba yake.


Cruz tayari ameshaanza kucheza soka lakini inaonekana tayari ameshaanza kufuata mitindo ya nywele ya zamani ya mzazi wake.

Cruz alionekana jana akiwa anacheza soka huku kichwani akiwa kanyoa mtindo wa “kiduku” ambao Beckham alinyoa miaka 10 iliyopita



Mtoto huyo mdogo kabisa wa kiume wa Beckham, pia style yake ya nywele imeonekana kufanana na na style ya Roberto De Niro katika filamu ya Taxi Driver.

Cruz pia anajulikana kwa kupenda kuchora temporarly tattos – kitu kingine ambacho amekiiga kutoka baba yake.
Alionekana na baba yake mjini LA akiwa anachorwa katika painting session at Color Me Mine – sehemu ambayo watoto wanajifunza kuchora kwa ubunifu wao wenyewe.


Cruz tayari ameshaanza kucheza soka lakini inaonekana tayari ameshaanza kufuata mitindo ya nywele ya zamani ya mzazi wake.

Cruz alionekana jana akiwa anacheza soka huku kichwani akiwa kanyoa mtindo wa “kiduku” ambao Beckham alinyoa miaka 10 iliyopita



Mtoto huyo mdogo kabisa wa kiume wa Beckham, pia style yake ya nywele imeonekana kufanana na na style ya Roberto De Niro katika filamu ya Taxi Driver.

Cruz pia anajulikana kwa kupenda kuchora temporarly tattos – kitu kingine ambacho amekiiga kutoka baba yake.
Alionekana na baba yake mjini LA akiwa anachorwa katika painting session at Color Me Mine – sehemu ambayo watoto wanajifunza kuchora kwa ubunifu wao wenyewe.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...