Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, November 9, 2011

Kundi jipya la Kizazi cha Raggae "UPL Crew", waja na 'RASTAMAN'



Habari Wadau Wa Muziki Wa Tanzania !
Leo Nalitambulisha Crew Mpya Wa Muziki Wa Kizazi Kipya Cha RAGGAE....

CREW Name ; UPL CREW (United By PEACE and LOVE)
Song : RASTAMAN


Ni Nyimbo Mpya Kabisa Tunahitaji Support Kubwa Sana Kutoka Kwenye !!

Mawasiliano Zaidi 0713 020304 (Deejay ROGIEKISS)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...