Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, December 30, 2011

Airtel wakabidhi zawadi kwa washindi wa promosheni ya MZUKA


Afisa Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania Jane Matinde (kulia) akikabidhi zawadi ya simu aina ya Samsung double line kwa Ariff Warri (kushoto) ikiwa ni zawadi baada ya kuibuka
mshindi katika promosheni ya mzuka wa Airtel . katikati yao ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akishuhudia makabithiano hayo, hafla ya makabidhiano iliyofanyika Airtel

Meneja Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi ya simu aina ya Samsung Galaxy ii kwa sandra Mwasenga (kushoto) ikiwa ni zawadi baada ya
kuibuka mshindi katika promosheni ya mzuka wa Airtel . katikati yao anayeshuhudia makabithiano hayo ni Jane Matinde Afisa uhusiano wa Airtel,hafla ya makabidhiano iliyofanyika leo Airtel

Meneja Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi ya simu aina ya Samsung Tablet kwa Pelagia Weiss (kushoto) ikiwa ni zawadi baada ya kuibuka mshindi katika promosheni ya mzuka wa Airtel . katikati ni Jane Matinde Afisa uhusiano wa Airtel

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...