Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, December 10, 2011

RAMADHANI NASIBU AMTWANGA ANTONI KAIRUKI KWA POINT


Ramadhani Nassibu akinyoshwa mkono juu na Refarii Said Chaku wakati wa mpambano wake na Antoni Kairuki

Ramadhani Nassibu akipambana na Antoni Kariuki wa kenya Jana
Baadhi ya mashabiki wa ngumi wakiwa wamesimama kwa ajili ya wimbo wa taifa wakati wa mpambano wa kirafiki wa kimataifa
Rais wa TPBO Yasini Abdallah Ostadhi akizungumza wakati wa mpambano uho
Rais wa Chama cha Ngumi za KUlipwa TPBO Yasin Abdalah akitangaza matokeo
Shabiki wa mchezo wa ngumi Chidi Mzee wa Mbele akimkabidhi cheti cha kutambua mchango wake wa kusapoti ngumi kupitia kipindi chake anachokienbdesha ALLY MKONGO wa ITV kulia ni Yasini Abdallah Ostadhi
Promota wa SIku nyingi Filimon Kyando 'Don King' akimkabidhi cheti cha kutambua mchango wa kuendeleza masumbwi mtangazaji Fadhili Swala wa Mlimani TV

Shamra shamra za mashabiki

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...