Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, December 23, 2011

VENAS mPONJI NA CHAULEMBO PALASA KUONESHANA KAZI KESHO


Mabondia Chaulembo Palasa kushoto na Venas Mponji wakitunishiana misuli leo baada ya kupima uzito kwa ajili yas mpambano wao kesho
Mratibu wa pambano la Ngumi za kulipwa, Kaike Silaju (katikati), akiinua mikono ya mabondia, Chaulembo Palasa kushoto na Venasi Mponji, baada ya kupima uzito, kwa ajili ya pambano lao, litakalofanyika kwenye Ukumbi wa DDC Keko, Dar es Salaam kesho


Abed Zugo akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake Kesho kushoto ni Zuwena Kibene na MUstafa Buchato
Bondia Said Zungu akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake kesho kustoto ni Zuwena KIbene na MUstafa Buchato

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...