Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, December 29, 2011

ZUGO GYM YAPANIA KUINUA VIJANA KATIKA MASUMBWI






Kocha wa ngumi wa timu ya Zugo GYM ya Gongo la Mboto, Mbaruku Heri (kushoto), akimfundisha bondia Abedi Zugo, jinsi ya kurusha masumbwi Dar es Salaam jana, wakati wa mazoezi ya kujiandaa kucheza na Juma Mohamedi. (Picha na http://www.superdboxingcoach.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...