Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, January 8, 2012

MBIO ZA MARATHON ZAFANYIKA JIMBO LA MTONI ZANZIBAR


Hashim Makame kulia ambaye aliibuka mshindi katika mbio za Marathon za Jimbo la Mtoni Zanzibar akiwa na mwezake wakipita mitaa mbali mbali katika mji wa Zanzibar leo.
Kikundi cha Mchezo wa Sarakasi kikifanya onesho katika hafla ya kukabidhiwa zawadi washindi ambao walishiriki katika mbio za Marathon za Jimbo la Mtoni Zanzibar
Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui akiwatunuku baadhi ya washiriki ambao walishindana katika mbio hizo za Marathon za Jimbo la Mtoni Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...