Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, February 12, 2012

KANUMBA AKAMILISHA KIJIJI CHA TAMBUA HAKI





Kanumba akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) katika uzinduzi huo.

...Akiwa na viongozi wa Policy Forum. Kushoto ni Mwenyekiti Mwenza Serikali za Mitaa wa Policy Forum, Hendroni Mwakagenda na ofisa mwingine wa taasisi hiyo, Alex Modest, wakiitambulisha filamu hiyo.

...Akielezea muktadha wa filamu hiyo ambayo sehemu kubwa inahusu matukio yaliyochukuliwa vijijini.

MCHEZA sinema maarufu nchini, Steven Kanumba, kwa kushirikiana na Taasisi ya Policy Forum wameandaa filamu mpya inayokwenda kwa jina la Kijiji cha Tambua Haki.
Kanumba aliitambulisha rasmi leo filamu hiyo inayotarajiwa kuingia sokoni mapema mwezi huu jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...