Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, March 19, 2012

TIGO YAFADHIRI KAMBI YA CLINIC YA SIKU MOJA KWA WAGONJWA WA BAGAMOYO

Mratibu wa Matukio na Promosheni wa Kampuni ya Tigo, Edward Shila (kushoto) akimkabidhi chandarua chenye dawa walivyokuwa wakitoa kwa mmoja wa wangonjwa, Abdalah Mussa baada ya kupatiwa matibabu jana
Mratibu wa Matukio na Promosheni wa Kampuni ya Tigo, Edward Shila (kushoto) akimkabidhi chandarua chenye dawa walivyokuwa wakitoa kwa mmoja wa wangonjwa, Abdalah Mussa baada ya kupatiwa matibabu jana
Baadhi ya washiriki katika kusaidia wagojwa wakiwa katika nafasi yao ya kugawa vinywaji kwa ajili ya wagojwa waliojitokeza jana
Muuguzi wa Afya akitoa maelekezo ya jinsi ya kuepukana na ugojwa wa kisukari alisema moja ya njia ya kuepukana na ugojwa huo ni kufanya mazoezi

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...