Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, April 18, 2012

CLOUDS FM YAZINDUA MPANGO MPYA WA VIPINDI


Watangazaji wa Clouds Fm 88.4 jijini Dar es Salaam kutoka kushoto ni Paul James 'PJ', Babra Hassan na Jerald Hando. wakitangaza kipindi cha Power Breakfast ndani ya viwanja vya Mnazi Mmoja wakati wa kuzindua vipindi vipya vitakavyokuwa vikiruka mara kwa mara 'live' kutoka mtaani.


Watangazaji wa Clouds Fm 88.4 jijini Dar es Salaam kutoka kushoto Dina Marious na Geah Habib wakiwa katika furaha viwanjani hapo kabila hawajaanza kuendesha kipindi cha Leo Tena.
Kutoka kulia ni Babra Hassan na Jerald Hando.
Babra Hassan na Jerald Hando wakiwa na fundi mitambo.
Mkuu wa vipindi wa Clouds Fm 88.4 Sebastian Mganga akiongea na (Kutoka kushoto) ni Jerald Hando, Paul James 'PJ', Babra Hassan.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...