Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, April 17, 2012

POLISI WAFANYA MSAKO WA PIKIPIKI ZINAZOTUMIKA KWA UJAMBAZI

Maaskari wa jeshi la Usalama wa Raia wakiwa wamekamata pikipiki Mataa wa Agrey kwa ajili ya
kuwafikisha kituo cha polisi msimbazi. Dar es salaam leo Jeshi hilo linafanya Operesheni
ya kukamata pikipiki hizo kutokana na kuhusishwa na matukio ya hualifu ukiwemo ujambazi wa
kutumia pikipiki

Maaskari wa jeshi la Usalama wa Raia wakiwa wamekamata pikipiki Mataa wa Agrey kwa ajili ya
kuwafikisha kituo cha polisi msimbazi. Dar es salaam leo Jeshi hilo linafanya Operesheni
ya kukamata pikipiki hizo kutokana na kuhusishwa na matukio ya hualifu ukiwemo ujambazi wa
kutumia pikipiki

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...