Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, May 30, 2012

WEMA SEPETU AVARISHWA PETE NYINGINE YA UCHUMBA NA BWANA WA 4 ASEMA MWENYE BAHATI HABAHATISHI


Mwimbaji wa bendi ya Machozi, Mwinyi akimvalisha pete ya uchumba mwigizaji wa bongomovie Wema Sepetu ambapo sherehe hiyo ilifanyika ndani ya Maisha Club jijini Dar es Salaam jana na kusema kuwa mwenye bahati habatishi sasa amefika na hayawi hayawi sasa yatakuwa.
 Hapa akiwa amepiga magoti.
 ...Furaha na nderemo zikiwa zimetawala.
....Kwa Raha zao wakifurahia. Picha/Dj Choka Blog.

Mwimbaji wa bendi ya Machozi, Mwinyi akimvalisha pete ya uchumba mwigizaji wa bongomovie Wema Sepetu ambapo sherehe hiyo ilifanyika ndani ya Maisha Club jijini Dar es Salaam jana na kusema kuwa mwenye bahati habatishi sasa amefika na hayawi hayawi sasa yatakuwa.
 Hapa akiwa amepiga magoti.
 ...Furaha na nderemo zikiwa zimetawala.
....Kwa Raha zao wakifurahia. Picha/Dj Choka Blog.

Mwimbaji wa bendi ya Machozi, Mwinyi akimvalisha pete ya uchumba mwigizaji wa bongomovie Wema Sepetu ambapo sherehe hiyo ilifanyika ndani ya Maisha Club jijini Dar es Salaam jana na kusema kuwa mwenye bahati habatishi sasa amefika na hayawi hayawi sasa yatakuwa.

 Hapa akiwa amepiga magoti.

 ...Furaha na nderemo zikiwa zimetawala.
....Kwa Raha zao wakifurahia. Picha/Dj Choka Blog.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...