Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, June 13, 2012

BAJETI YA SMZ YAWASILISHWA LEO MJINI ZANIZBAR


 Waziri wa Nchi Afisi ya Rais anaeshughulikia Fedha na Uchumi na
Mipango ya Maendeleo Zanzibar,Omar Yussuf Mzee akionesha mkoba wenye nyaraka za  Bajeti ya
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013 leo Nje
ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi(Picha na Yussuf Simai,MAELEZO
Zanzibar)
 Waziri wa Nchi Afisi ya Rais anaeshughulikia Fedha na Uchumi na
Mipango ya Maendeleo Zanzibar,Omar Yussuf Mzee akisoma bajeti ya SMZ
  leokatika Baraza la Wawakilishi.(Picha na Yussuf Simai,MAELEZO
Zanzibar)
Baadhi ya wasikilizaji waliofika kusikiliza bajeti ya SMZ ya
mwaka 2012/2013 leo (Picha na Yussuf Simai,MAELEZO Zanzibar)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...