Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, June 3, 2012

KUTANO WA BARAZA LA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI, DODOMA.


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Benno Malisa, akifafanua jambo katika kikao hicho.


Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Martin Shigela, akielezea jambo juu ya mapendekezo ya Kamati ya maboresho. 

Mwenyekiti wa Kamati ya Maboresho na Uimarishaji wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Hussein Bashe akiwasilisha Taarifa ya Mapendekezo ya kamati yake.

Ndugu Ridhwan J. Kikwete akichangia jambo juu ya taarifa ya mapendekezo ya kamati ya Uboreshaji wa Jumuiya ya umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (CCM)

Naibu Katibu Mkuu (bara) wa  Jumuiya ya umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (CCM) akifafanua jambo katika kikao hicho cha kujadili maboresho ya umoja huo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...